Nafasi za Kazi Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu (UN-OHCHR)

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Nafasi za Kazi Watanzania wenye sifa na uzoefu mnaalikwa kuomba nafasi zilizo tangazwa na Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu (UN-OHCHR).

Nafasi zilizotangazwa na Utumishi

  1. Katibu Mkuu Msaidizi – Haki za Binadamu
    • Eneo la kazi: Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu (OHCHR), New York.
    • Mwisho wa kutuma maombi: 19 Septemba 2025.
  2. Naibu Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu
    • Eneo la kazi: Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu (OHCHR), Geneva – Uswisi.
    • Mwisho wa kutuma maombi: 19 Septemba 2025.

Sifa na Ujuzi Unaohitajika kwa Nafasi ya Katibu Mkuu Msaidizi

  • Uzoefu wa angalau miaka 20 katika haki za binadamu, mahusiano ya kimataifa au fani zinazohusiana.
  • Uzoefu wa kufanya kazi kwenye taasisi kubwa zenye tamaduni mchanganyiko.
  • Ujuzi kwenye kupanga sera, kuchambua siasa, usimamizi wa programu, na uratibu wa shughuli kwenye mfumo wa kimataifa.
  • Rekodi nzuri ya uongozi na usimamizi bora.
  • Uwezo wa majadiliano na diplomasia.
  • Uwezo wa kufanya kazi vizuri na watu wa tamaduni tofauti na kujenga ushirikiano wenye tija ndani na nje ya taasisi.

Pakua PDF hapa

Soma zaidi: