Walioitwa kwenye Usaili Wizara ya Afya na MDAs & LGAs

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Hili hapa tangazo la Walioitwa kwenye Usaili Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara ya Afya na MDAs & LGAs inawatangazia waombaji kazi waliotajwa kuhudhuria usaili kuanzia 10–26 Agosti 2025.

Maelezo kwa wasailiwa

  1. Fika siku ya usaili ukiwa na barakoa na kitambulisho halali (NIDA, kura, uraia, kazi, leseni ya udereva, pasipoti au barua ya serikali ya mtaa/kijiji).
  2. Leta vyeti halisi (kuzaliwa, elimu – Kidato cha IV, VI, Astashahada, Stashahada, Shahada n.k.) kulingana na sifa ya kada uliyoiomba.
  3. Testimonials, provisional results, statement of results na result slips za Kidato cha IV & VI hazitakubaliwa.
  4. Gharama za chakula, usafiri na malazi ni za msailiwa mwenyewe.
  5. Waliomaliza masomo nje ya nchi wahakikishe vyeti vimehakikiwa na TCU, NACTVET au NECTA.
  6. Kwa kada zinazohitaji usajili wa kitaaluma, leta vyeti halisi vya usajili na leseni ya kazi.
  7. Ingia kwenye akaunti yako ya Ajira Portal ili kunakili namba ya mtihani kabla ya siku ya usaili.
  8. Wenye majina yanayotofautiana kwenye nyaraka wawasilishe Deed Poll iliyosajiliwa.

Ratiba ya Usaili wa vitendo

Dereva Daraja la II – MDAs & LGAs
VETA Kihonda – Morogoro

  • 11/08/2025: Serial No. 1–60
  • 12/08/2025: Serial No. 61–120
  • 13/08/2025: Serial No. 121–180
  • 14/08/2025: Serial No. 181–240
  • 15/08/2025: Serial No. 241–306

Fundi Sanifu Ujenzi II – Wizara ya Afya
VETA Dodoma

  • 10/08/2025: Serial No. 1–70
  • 11/08/2025: Serial No. 71–140
  • 12/08/2025: Serial No. 69–103
  • 13/08/2025: Serial No. 141–211
  • 14/08/2025: Serial No. 212–281
  • 15/08/2025: Serial No. 282–351
  • 16/08/2025: Serial No. 352–422
  • 17/08/2025: Serial No. 423–493
  • 18/08/2025: Serial No. 494–563
  • 19/08/2025: Serial No. 564–634
  • 20/08/2025: Serial No. 635–707

Ratiba ya Usaili wa Mahojiano (Oral Interview)

Mwalimu Daraja la III C – Somo la Biashara
Vituo: Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, Mbeya, Mwanza, Tabora, Zanzibar
11/08/2025 – Saa 1:00 asubuhi
(Vituo kamili vitangazwa kwenye www.ajira.go.tz)

Dereva Daraja la II – MDAs & LGAs
Ofisi za PSRS – Dodoma
20/08/2025 – Saa 1:00 asubuhi

Fundi Sanifu Ujenzi II – Wizara ya Afya
Ofisi za PSRS – Dodoma
26/08/2025 – Saa 1:00 asubuhi

Soma zaidi: