Walioitwa Kazini Manispaa ya Shinyanga 2025

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Hii hapa orodha ya majina ya walioitwa kazini Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga anawatangazia waombaji kazi waliopitia usaili kati ya 15–18 Septemba 2025 na kufaulu kwamba wameitwa kazini.

  • Wanafaa kuripoti kazini ndani ya siku 7 kuanzia 19 Septemba 2025 wakiwa na vyeti halisi (original) vya masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea, ili kuthibitisha kabla ya kupewa barua za ajira.
  • Wale ambao majina yao hayapo kwenye orodha hii hawakufanikiwa na wanaweza kuomba nafasi zingine zitakapotangazwa.

Walioitwa Kazini

Kuitwa kazini Manispaa ya Shinyanga

1. KADA: Udereva Daraja la II

  • Moses Jackson Kiula
  • Samwel Dickson Mseluka
  • Ernest Revocatus Mapalala
  • Faustine Samwel Ndabisiye

2. KADA: Wasaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II

  • Iconomy Nchaba Biize
  • Salma Rishan Mtawa
  • Esther Mathias Kichembu
  • Nyakai Vedastus Methusela

Imetolewa na:
Mwl. Alexius R. Kagunze
Mkurugenzi, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Kwa matangazo ya ajira mpya na nafasi za kazi tembelea tovuti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma hapa https://www.ajira.go.tz.

Soma zaidi: