Table of Contents
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi UNESCO 2025 Wananchi wa Tanzania wenye sifa na uzoefu wanakaribishwa kuomba nafasi zifuatazo zilizotangazwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO).
Ajira mpya zilizotangazwa na Maelezo
Na. | Kichwa cha Kazi | Daraja (Grade) | Kituo cha Kazi | Mwisho wa Kutuma Maombi |
---|---|---|---|---|
1 | Afisa Fedha (Finance Officer, Savings) | P-3 | Paris | 2 Oktoba, 2025 |
2 | Meneja Mkuu (General Manager, UNESCO Staff Savings and Loan Service) | P-5 | Paris | 30 Septemba, 2025 |
Maelekezo ya Kutuma Maombi
- Kwa taarifa zaidi kuhusu maelezo ya kazi, sifa zinazohitajika, muda wa ajira na maslahi, tembelea tovuti ya UNESCO: https://unesco.org.
- Waombaji wanapaswa kuzingatia masharti yote ya nafasi zilizotangazwa na kuwasilisha maombi kupitia UNESCO Careers Portal: https://careers.unesco.org.
- Nakala za maombi pia ziwasilishwe kwa POPSM&GG kupitia barua pepe: dhrd.tc@utumishi.go.tz au kwa anuani husika.
Permanent Secretary,
President’s Office, Public Service Management and Good Governance,
Mtumba Governance City,
Utumishi Street,
P.O. Box 670,
DODOMA.
Soma zaidi:
Leave a Reply
View Comments