Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kilianzishwa tarehe 1 Julai 1984 kwa Sheria ya Bunge Na. 6 ya mwaka huo, ambayo ilifutwa na Sheria ya Vyuo Vikuu Na.7 ya mwaka 2005. Kupitia sheria hiyo, SUA ilipata Katiba yake mwaka 2007.
Dira ya SUA ni kuwa Chuo Kikuu kinachoongoza katika utoaji wa elimu bora, ujuzi na ubunifu katika kilimo na sayansi shirikishi.
SUA inakaribisha maombi ya ajira kutoka kwa Watanzania wenye sifa stahiki ili kujaza nafasi mbalimbali za kitaaluma zilizo wazi.
Ajira mpya zilizotangazwa na Maelezo
S/N | Nafasi ya Kazi | Idadi ya Nafasi |
---|---|---|
1 | Tutorial Assistant (Records and Archives Management) | 1 |
2 | Tutorial Assistant (Geomorphology) | 1 |
3 | Tutorial Assistant (Hydrogeology) | 1 |
4 | Tutorial Assistant (Bee Sciences) | 2 |
5 | Tutorial Assistant (Agriculture General) | 1 |
6 | Tutorial Assistant (Dairy Sciences) | 2 |
7 | Assistant Lecturer (Nutritional Epidemiology) | 2 |
8 | Tutorial Assistant (Plant Physiology) | 1 |
9 | Assistant Lecturer (Textile Design and Technology) | 1 |
10 | Assistant Lecturer (Agricultural Extension) | 1 |
11 | Tutorial Assistant (Plant Pathology) | 1 |
12 | Assistant Lecturer (Political Sciences) | 1 |
13 | Assistant Lecturer (Literature) | 1 |
14 | Tutorial Assistant (Agronomy) | 2 |
15 | Tutorial Assistant (Medicine) | 1 |
16 | Tutorial Assistant (Chemical and Process Engineering) | 1 |
17 | Assistant Lecturer (Educational Psychology and Counselling) | 2 |
18 | Assistant Lecturer (Curriculum and Instruction) | 1 |
19 | Tutorial Assistant (Civil and Water Resources Engineering) | 1 |
20 | Assistant Lecturer (Educational Foundations and Management) | 1 |
21 | Assistant Research Fellow (Agriculture/Natural Resources Management) | 1 |
22 | Assistant Lecturer (Wildlife Management) | 1 |
23 | Assistant Lecturer (Botany) | 1 |
24 | Lecturer – PhD (Agricultural Economics) | 1 |
25 | Assistant Lecturer (Agricultural Economics) | 2 |
26 | Assistant Lecturer (Mathematics) | 1 |
27 | Assistant Lecturer (Marketing) | 1 |
28 | Assistant Lecturer (Information Technology) | 1 |
29 | Assistant Lecturer (Trade) | 1 |
30 | Tutorial Assistant (Human Resource Management) | 1 |
31 | Tutorial Assistant (Statistics) | 1 |
Masharti ya Jumla ya Maombi:
- Mwombaji awe raia wa Tanzania mwenye umri usiozidi miaka 45.
- Wenye ulemavu wanahimizwa kuomba na kutaja hali yao wazi kwenye mfumo wa maombi.
- Ambatanisha CV yenye taarifa sahihi za mawasiliano, anwani, barua pepe na simu.
- Maombi yaambatanishwe na nakala zilizohakikiwa za vyeti vya kitaaluma (Postgraduate, Shahada, Diploma, Cheti), matokeo ya kitaaluma, vyeti vya kidato cha IV na VI, vyeti vya usajili (kama inahitajika), na cheti cha kuzaliwa.
- Haikubaliki kuambatanisha results slips, testimonials au partial transcripts.
- Weka pasipoti-size picha ya hivi karibuni kwenye mfumo wa maombi.
- Watumishi wa umma hawaruhusiwi kuomba.
- Wastaafu wa utumishi wa umma hawaruhusiwi kuomba.
- Taja waamuzi watatu (referees) wenye mawasiliano sahihi.
- Vyeti vya shule vilivyotolewa nje ya nchi vihakikiwe na NECTA; vyeti vya kitaaluma vihakikiwe na TCU au NACTE.
- Barua ya maombi iwe na sahihi, iandikwe Kiswahili au Kiingereza
- Walioteuliwa tu ndio watajulishwa tarehe ya usaili.
- Nyaraka au taarifa za kughushi zitachukuliwa hatua za kisheria.
Jinsi ya kutuma maombi
Maombi yote yatumiwe kupitia Recruitment Portal: http://portal.ajira.go.tz/ (pia inapatikana kupitia tovuti ya PSRS kwa kubofya Recruitment Portal).
Mwisho wa kupokea maombi:Â 02 Septemba 2025.
Soma zaidi:
Leave a Reply
View Comments