Nafasi za Kazi TAA 126

Bonyeza KUJIUNGA NASI WHATSAPP Kwa nafasi za kazi, matangazo mbalimbali Ajira mpya kutoka Serikalini, Kampuni, Taasisi mbalimbali TAESA, Viwandani, Internships.

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Kwa niaba ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa Umma (PSRS) kinawaalika Watanzania wenye nguvu, wenye shauku, na wenye sifa stahiki kujiunga na kazi kwenye ajira mpya 126 zilizopo hapa chini.

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) ni mamlaka ya serikali iliyoanzishwa kusimamia, kuendesha, kutunza, na kuendeleza viwanja vya ndege vya umma kwa mtindo wa usimamizi wenye mwelekeo wa kibiashara.

Ajira Mpya zilizotangazwa na Maelezo

KadaIdadi ya nafasiMwajiri
Engineer II – Civil3TAA
ICT Officer II – Network1TAA
Architect II1TAA
Airport Operation Officer II1TAA
Customer Service Officer II1TAA
Aircraft Marshaller II23TAA
Electrical Technician II2TAA
Mechanical Technician II2TAA
Assistant Airport Security Officer II74TAA
Artisans II – Plumbing12TAA
Artisans II – Civil2TAA
Artisans II – Mechanical1TAA
Artisans II – Electrical1TAA
Driver II2TAA

Masharti Muhimu

  • Awe Raia wa Tanzania mwenye umri wa kati ya miaka 18–45.
  • Aambatishe:
    • Cheti cha kuzaliwa.
    • CV yenye taarifa binafsi na mawasiliano.
    • Kitambulisho cha Taifa (NIDA) au namba ya uraia.
    • Nakala za vyeti vya elimu na taaluma vilivyothibitishwa.
    • Picha mbili (2) za rangi za passport size.
  • Waombaji waliomaliza masomo nje ya nchi waambatishe vyeti vilivyothibitishwa na TCU/NACTE/NECTA.
  • Testimonials, Provisional Results, Statement of Results na Result Slips HAVITAKUBALIWA.
  • Taarifa za kughushi zitapelekea hatua za kisheria.

Jinsi ya Kutuma Maombi

Barua za maombi (ikiandikwa kwa mkono) ziambatane na vyeti vyote muhimu na zitumwe kwa:

Secretary,
Presidents Office, Public Service Recruitment Secretariat,
P.O. Box 2320,
Mahakama Street, Tambukareli,
Dodoma.

Pakua PDF hapa

Maombi yote yatumwe kupitia Mfumo wa Ajira (Recruitment Portal): https://portal.ajira.go.tz

Mwisho wa kutuma maombi: Tarehe 22 Novemba, 2025.

Soma zaidi: