Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ndicho chuo kikuu cha kwanza na kongwe zaidi nchini Tanzania. Kiliundwa mwaka 1961 kama chuo tanzu cha Chuo Kikuu cha London kikiwa na Taasisi moja ya Sheria na wanafunzi 14 pekee. Baadaye mwaka 1970, UDSM kilijitegemea kama chuo kikuu kamili baada ya kuvunjika kwa Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki.
Kwa sasa UDSM kimekua na kinatoa taaluma mbalimbali katika nyanja za Sayansi, Uhandisi, Tiba, Kilimo, Biashara, Uandishi wa Habari, Sanaa na Sayansi Jamii, kikiwa kinahudumia taifa kwa kuzalisha wataalamu wa ngazi ya juu.
Nafasi za Kazi Zilizotangazwa
Na. | Kada | Idadi ya Nafasi |
---|---|---|
1 | Assistant Lecturer (Quantity Surveying) | 1 |
2 | Assistant Lecturer (Structural Engineering) | 1 |
3 | Assistant Lecturer (Energy Engineering) | 1 |
4 | Assistant Lecturer (Geomatics) | 1 |
5 | Assistant Lecturer (Climate Change Scientist) | 1 |
6 | Assistant Lecturer (Biochemistry) | 1 |
7 | Assistant Lecturer (Fish Processing Technology) | 1 |
8 | Assistant Lecturer (Data Science) | 1 |
9 | Assistant Lecturer (Economics/Commerce Education) | 1 |
10 | Assistant Lecturer (Exercise Physiology) | 1 |
11 | Assistant Lecturer (Sports Sociology) | 1 |
12 | Editor II | 4 |
13 | Instructor II (Arts & Design) | 1 |
14 | Laboratory Engineer II (Food Science & Technology) | 1 |
15 | Laboratory Scientist II (Botanical Science) | 2 |
16 | Laboratory Scientist II (Molecular Biology & Biotechnology) | 1 |
17 | Medical Specialist II (Anesthesia) | 1 |
18 | Medical Officer II (Dental) | 1 |
19 | Technologist II (Radiology) | 1 |
20 | Laboratory Technician II (Multimedia) | 2 |
21 | Laboratory Technician II (Petroleum) | 1 |
22 | Laboratory Technician II (Geology/Mining) | 1 |
23 | Technician II (Seaman) | 2 |
24 | Laboratory Technician II (Botany) | 1 |
25 | Artisan II (ICT) | 4 |
26 | Laboratory Assistant II (Embalmer) | 2 |
27 | Laboratory Assistant II (Civil Droughting) | 2 |
28 | Launderer II | 4 |
29 | Workshop Technician II (Mechanical/Electromechanical) | 1 |
30 | Laboratory Technician II (Mineral Processing) | 1 |
Masharti ya Jumla kwa Waombaji
- Awe Raia wa Tanzania mwenye umri usiozidi miaka 45.
- Wenye ulemavu wanahimizwa kuomba (waainishe kwenye mfumo).
- Waombaji wa umma waliopo kazini wapitishe maombi kwa waajiri wao.
- Waliowahi kuondolewa kazini Serikalini hawaruhusiwi kuomba.
- Vyeti vya nje lazima vithibitishwe na TCU (kwa elimu ya juu) au NECTA (kwa O-level na A-level).
- Uwasilishaji wa vyeti bandia utasababisha kufutwa maombi na hatua za kisheria.
Jinsi ya Kutuma Maombi
Waombaji wenye sifa watume maombi kupitia Recruitment Portal:
http://portal.ajira.go.tz
Barua za maombi zielekezwe kwa:
The Deputy Vice Chancellor (Academic),
University of Dar es Salaam,
P.O. Box 35091,
Dar es Salaam.
Mwisho wa kutuma maombi:
- 21 Septemba 2025 (kwa nafasi zinazofungwa mapema).
- 02 Oktoba 2025 (kwa nafasi zinazofungwa baadaye).
Soma zaidi:
Leave a Reply
View Comments